NI SIKU 100 TANGU TETEMEKO LITOKEE NEPAL
Mwandishi wa bbc anasema kuwa kiwango kikubwa cha vifusi kimeondolewa na ujenzi mpya kwa sasa unaendela katika badhi ya maeneo yaliyoathirika zaidi
Nepal inapata msaada wa kimataiaa katika ujenzi huo . Karibu watu 9000 waliuawa wakati wa janga hilo.
Comments
Post a Comment