BARCELONA YAPONEA CHUPU CHUPU DHIDI YA GRANADA


 Image result for picha Rafinha wa barca

KIUNGO wa Barcelona Rafinha Alcantara 
Jana alufungia Timu yake Bao la aDakika ya 49 na kuipa ushindi wa 1-0 dhidi ya Timu ta mkiani ya La Liga Granada.
Ushindi huo umeipandisha Barca hadi Nafasi ya Pili wakiwa Pointi 2 nyuma ya Vinara Real Madrid ambao Jana walifunga Ugenini Alaves 4-1 huku Cristiano Ronaldo akipiga Hetitriki.
Wakicheza chini ya kiwango huku Mafowadi wao hatari, Lionel Messi, Neymar na Luis Suarez, wakihaha bila tija, Barca walishindwa kuifunga Timu hiyo ya mkian

Comments

Popular Posts