Liverpool yazidi kunoga ushindani waongezeka katika msimamo wa ligi ya EPL

 
ligi kuu ya england imezidi kuwa na mvuto wa aina yake hii  ni baada ya mechi kazaa kuchezwa jumamosi hii huku timu zote  zilizopo juu katika msimamo wa ligi hiyo ziki pata ushindio Liverpool wameichabanga crystal  palace mabao 4 _2nakufanya ligi hiyo kuendelea kuwa na mvutano mkubwa has katika nafasi za juu kwenye msimamo wa ligi hiyo man city Arsenal pamoja na Liverpool wanapointi sawa 23 ni tofauti ya magoli ya kufunga na kufugwa ndio yanayo amulu msima wa ligi kuonyesha nani kinara wa ligi hiyo mpak sasa
 






Comments

Popular Posts