JOHN DRAMAN MAHAMA AANGUSHWA KWENYE KITI CHA URAIS
Mwanasiasa
mkongwe ameshinda uchaguzi wa urais nchini Ghana, ushindi ambao umepokelewa kwa
shangwe na nderemo na wafuasi wake.
Nana Akufo-Addo, ameshangilia ushindi wake na kusema taifa hilo sasa ni mwenge wa Demokrasia Afrika Magharibi.
Ameahidi kukabiliana na uchumi uliozorota, suala ambalo lilitiliwa mkazo wakati wote wa kampeni,
Bw Akufo-Addo amesema kuwa ushindi wake ni hatua anayofurahia sana katika maisha yake yote na akaahidi kuwa atafanya kila juhudi kuhakikisha kuwa anatekeleza matakwa ya wananchi wa Ghana.
Nana Akufo-Addo, ameshangilia ushindi wake na kusema taifa hilo sasa ni mwenge wa Demokrasia Afrika Magharibi.
Ameahidi kukabiliana na uchumi uliozorota, suala ambalo lilitiliwa mkazo wakati wote wa kampeni,
Bw Akufo-Addo amesema kuwa ushindi wake ni hatua anayofurahia sana katika maisha yake yote na akaahidi kuwa atafanya kila juhudi kuhakikisha kuwa anatekeleza matakwa ya wananchi wa Ghana.
![]() |
Rais Mteule Wa Ghana Nana Akufo-Addo |
Comments
Post a Comment