Wananchi Masumuni- Mbinga watakiwa kuchangia maendeleo
Endelea kutembelea blog yetu kuwa wa kwanza kuhabarika kwa maoni na ushauri +255 766 086 039 +255 625 715 167 +255 744 063 802 +255 719 980 891 +255 684 219 786 N a Sholastika Fute MBINGA Jumla ya shilingi milioni mbili laki saba na elfu hamsini na tatu zimepatikana katika kata ya masumuni wilayani MBINGA mkoani RUVUMA kwa kipindi cha miezi mitatu.